WHAT'S NEW
- All
- AJIRA AIR TANZANIA
- AJIRA PORTAL
- BENKI ZA TANZANIA
- BUNGE LA TANZANIA
- CHAKUHAWATA
- CPA
- ELIMU
- HESLB
- JESHI LA MAGEREZA
- JESHI LA POLISI
- JESHI LA UHAMIAJI
- JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
- JKT
- KAZI BUNGE LA TANZANIA
- KOZI ZA VYUO VIKUU
- LESENI
- MATOKEO YA MOCK
- MIFUMO MBALIMBALI
- MOEZ
- NACTVET
- NaPa
- NECTA
- NHIF
- NIDA
- RITA
- SELECTION ZA VYUO
- TAMISEMI
- TCU
- USAJILI VYUONI
- VETA
- VIWANGO VYA MISHAHARA
- WALIOITWA KAZINI LEO
- WIZARA YA ELIMU
- ZANZIBAR
- ZHESLB
Chuo Cha Uhandisi Na Teknolojia Cha Al-Maktoum
ACCESSORIES
Form One Selection 2026 Morogoro – waliochaguliwa kidato cha kwanza Morogoro
Sifa na Vigezo vya Kusoma Kozi ya Bachelor of Science in...
WINDOWS PHONE
Jinsi Ya Kupata Cheti Mbadala NECTA Form Four/Six Kama Umepoteza
LATEST ARTICLES
MAJINA WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA NACTVET 2026/2027
MATOKEO YA UCHAGUZI WA UDAHILI KUPITIA MFUMO WA UDAHILI WA PAMOJA (CAS) KWA KOZI ZA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI KWA MWAKA WA MASOMO 2026/2027 - AWAMU YA KWANZA ANGALIA HAPA
Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 31-07-2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-07-2025 na tarehe 25-07-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya...
RITA Taarifa Binafsi Za Mwombaji Wa Cheti Cha Kuzaliwa
TAARIFA BINAFSI ZA MWOMBAJI WA CHETI CHA KUZALIWA Majina matatu Tarehe ya kuzaliwa Namba ya simu Email address Kazi Ndoa Kama alizaliwa mmoja, mapacha au zaidi Uzito wa mtoto alipozaliwa (sio lazima) Elimu ya mwombaji Shahidi wakati wa kuzaliwa (doctor, nurse,...
Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 28-07-2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-07-2025 na tarehe 03-06-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya...
TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 27-07-2026
PAKUA PDF HAPA CHINI TANGAZO LA KUITWA KAZINI OFISI YA MKUU WA MKOA KAGERA 27-07-2026​ TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 27-07-2026
MAJINA YA WANAFUNZI 1000 WANAOTAKIWA KUOMBA UFADHILI WA SAMIA (STEM) SCHOLARSHIP 2026/2027
MAJINA YA WANAFUNZI 1,000 WENYE UFAULU WA JUU ZAIDI KWENYE TAHASUSI ZA PCB, PCM, CBG, PGM, CBA, PMC NA CBN KATIKA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2026 WANAOTAKIWA KUOMBA UFADHILI WA SAMIA (STEM) ANGALIA HAPO CHINI DOWNLOAD PDF HAPA
Jinsi ya Kujisajili kama Private Candidate NECTA Form Six 2027/2028
Fahamu Jinsi Ya Kujisajili Kama Private Candidate Kufanya Mtihani Wa Necta Form Six Watu wote wanaotarajia kufanya Mtihaniwa Kidato cha Sita (ACSEE) kama Watahiniwa wa Kujitegemea; 1. Kipindi cha usajili kwa Watahiniwa wa Kujitegemea huanza mwezi wa 7 na huisha mwezi wa 9. Ada ya usajili ni Shilingi 50,000/=, watakaojisajili kwa kuchelewa yaanikuanzia tarehe mwezi wa 10 watalipa Shilingi 65,000/= ikiwa...
Taarifa kwa Umma Kupanda kwa Nauli Za Usafiri Zanzibar Leo
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Dkt. Khalid Salum Muhammed ametangaza kupanda kwa bei za nauli za usafiri kwa asilimia 16, ambapo nauli ya safari za kilomita moja hadi 12 imepanda kutoka shilingi 500 hadi shilingi 700. Amesema kwa safari za umbali mrefu kuanzia kilomita 60 hadi 70, nauli itakuwa shilingi 3,000 tofauti na awali iliyokuwa shilingi 2,500. Dkt. Khalid...
Tetesi za Usajili wa Yanga SC 2026/2027
Dirisha kubwa la usajili wa msimu wa 2026/2027 limefunguliwa rasmi, hivyo tetesi kuhusu usajili wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2025/2026 Yanga zinaendelea kuongezeka. Ni muhimu kutofautisha kati ya: Tetesi – taarifa ambazo bado hazijathibitishwa. Usajili rasmi – mchezaji hutangazwa na Yanga kupitia kurasa zake rasmi au taarifa ya klabu. Young Africans Sports Club (Yanga SC) inaendelea kupanga kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/2027 baada...
Tetesi za Usajili wa Simba SC 2026/2027
Mabingwa wa Kombe FA Tanzania 2025/2026 Simba SC wamepania kufanya vizuri msimu ujao Ligi Kuu. Kuna majina mbalimbali ya wachezaji wanaohusishwa kuingia katika kikosi cha simba msimu wa 2026/2027. Majina hayo ni Kelvin Nashon, Ramadhan Chobwedo, Feisal Salum. Wakati baadhi ya majina yakitajwa kuwa karibu kutambulishwa rasmi, wengine wanaendelea kuwa sehemu ya mipango ya muda mrefu ya klabu. Simba Inatafuta Kuimarisha...























