Home NACTVET Chuo Cha Amani Cha Lugha Ya Ishara Na Ukalimani

Chuo Cha Amani Cha Lugha Ya Ishara Na Ukalimani

10
0

CHUO CHA AMANI CHA LUGHA YA ISHARA NA UKALIMANI

(Amani Institute of Sign Language and Interpretation)

Aina: Binafsi | Usajili: REG/BTP/210P
Mahali: Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Mbeya

Kozi Zinazopatikana:

Stashahada ya Kwanza katika Lugha ya Ishara na Ukalimani

(Ordinary Diploma in Sign Language and Interpretation)

Vigezo vya Kujiunga:

  • Wenye Cheti cha Elimu ya Sekondari (CSEE) waliofaulu angalau masomo manne (4) yasiyo ya kidini ikijumuisha Kiingereza au Kiswahili

  • Wenye Stashahada ya Msingi ya Ufundi (NTA Level 4) katika Lugha ya Ishara na Ukalimani

Muda wa Programu: Miaka 3 (au 2 kwa walio na sifa za juu) | Uwezo: 50
Ada: TSH. 1,200,000/=

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here