Home HABARI ZA MICHEZO Makundi ya Kombe la Dunia 2026

Makundi ya Kombe la Dunia 2026

151
0

Makundi ya Kombe la Dunia 2026 yamepangwa rasmi, na mashabiki wa soka duniani wanaingia kwenye hekaheka mpya kuelekea mashindano makubwa zaidi katika historia ya FIFA World Cup. Michuano ya mwaka 2026 itahusisha idadi kubwa zaidi ya timu, mazingira mapya ya ushindani, na mfumo ulioboreshwa ambao unaipa kila timu nafasi ya kuonyesha ubora na ubunifu wa kiufundi.

Kupangwa kwa makundi haya kunatoa taswira mpya ya ushindani kutoka mabara yote, huku mataifa kongwe na mapya yakijipanga kutafuta nafasi katika hatua za juu. Hapa chini tumekuwekea orodha ya makundi yatakayocheza kombe la dunia 2026.

Makundi ya Kombe la Dunia 2026-Elimunasi.com

Orodha ya Makundi ya Kombe la Dunia 2026 – FIFA World Cup

GROUP A

  • Mexico
  • South Africa
  • Korea Republic
  • Winner play off (CZE,DEN,IRL,MKD)

GROUP B

  • Canada
  • Winner play off (BIH,ITA,NIR,WAL)
  • Qatar
  • Switzerland

GROUP C

  • Brazil
  • Morocco
  • Haiti
  • Scotland

GROUP D

  • USA
  • Paraguay
  • Australia
  • Winner play off (KDS,ROU,SVK,TUR)

GROUP E

  • Germany
  • Curacao
  • Cote D’ivoire (Ivory Coast)
  • Ecuador

GROUP F

  • Netherlands
  • Japan
  • Winner play off (ALB,POL,SWE,UKR)

GROUP G

  • Belgium
  • Egypt
  • IR IRAN
  • New Zealand

GROUP H

  • Spain
  • Cape Verde
  • Saudi Arabia
  • Uruguay

GROUP I

  • France
  • Senegal
  • Winner play off (BOL,IRQ,SUR)
  • Norway

GROUP J

  • Argentina
  • Algeria
  • Australia
  • Jordan

GROUP K

  • Portugal
  • Winner play off (cod,jam,ncl)
  • Uzbekistan
  • Colombia

GROUP L

  • England
  • Croatia
  • Ghana
  • Panama

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here