Home HESLB Mahitaji Ya Kuomba maombi ya mkopo na vyuo mwaka 2025

Mahitaji Ya Kuomba maombi ya mkopo na vyuo mwaka 2025

682
0

MAMBO YA KUZINGATIA KUFANYA MAOMBI YA MKOPO NA CHUO

HATUA YA KWANZA

UHAKIKI WA VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO RITA

Mahitaji:

  • Jina kamili la mwanafunzi
  • Tarehe ya kuzaliwa
  • Mahali ulipozaliwa
  • Namba ya simu
  • Jina kamili la baba
  • Jina kamili la mama
  • Nakala ya cheti unachohakiki (chakuzaliwa au cha kifo)

 

HATUA YA PILI

MAOMBI YA MKOPO HESLB

      TAARIFA BINAFSI NA ANUANI ZA MWOMBAJI

  • Jina Kamili (Full Name)
  • Tarehe ya Kuzaliwa
  • Mkoa ulikozaliwa
  • Namba ya Simu ya Mkononi
  • Passport size
  • Namba ya nida
  • Email
  • Namba ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa (kutoka RITA)

TAARIFA ZA BENKI ZA MWOMBAJI

  • Jina La Benki :
  • Namba ya account
  • Jina la mwenye account (JINA LAKO KAMILI)

TAARIFA YA ELIMU

  • Namba ya mtihani kidato cha nne na mwaka wakumaliza
  • Namba ya mtihani kidato cha sit ana mwaka wa kumaliza

NB: kama umefanya mtihani wa taifa zaidi ya mara moja ambatanisha namba zote

TAARIFA ZA WAZAZI (NA MLEZI KAMA YUPO)

  • Jina kamili
  • Mahali anapoishi
  • Mkoa
  • Wilaya
  • Kata
  • kijiji
  • Postikode
  • Namba ya nyumba
  • Namba ya simu
  • Kazi anayofanya

 

TAARIFA ZA MDHAMINI WAKO

  • Jina kamili
  • Kazi anayofanya
  • Passport size
  • Namba na copy ya kitambulisho
  • Mkoa anaoishi
  • Walaya
  • Kijiji
  • Postikodi
  • Namba ya nyumba

NB: Mdhamini ni mzazi au mlezi

 

TAARIFA ZA KIUCHUMI

  • Namba ya tassaf (kama familia ipo chini ya tassaf)

TAARIFA ZA UFADHILI

Kama umefadhiliwa katika ngazi yoyote ya elimu ambatanisha barua na form ya ufadhili

 

HATUA YA TATU

MAOMBI YA CHUO

  • Namba ya form 4
  • Namba ya form 6
  • Email
  • Namba ya simu
  • Anuani
  • Course uanzotaka kusoa (anagalau kozi tatu)
  • Tarehe ya kuzaliwa

 

JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWA KUBONYEZA LINK APO CHINI

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA GROUP

Prepared by

Magesa Tech Solutions

Phone: 0747532692

Dodoma Tanzania

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here