Vigezo vya Kujiunga na Kozi ya Nusing
Mwombaji anapaswa kuwa na Cheti cha Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) chenye angalau ufaulu wa masomo manne (4) yasiyo ya kidini, ikiwemo Kemia, Baiolojia, na Fizikia/Hisabati za Uhandisi. Ufaulu wa daraja D somo la Hisabati na Kiingereza utazingatiwa kama faida ya ziada.







