Pass tatu kutoka katika masomo ya Physics, Chemistry and Biology zenye pont zisizopungua 6. Mwombaji angalau awe na “D” kwenye somo la Chemistry, Biology and Physics.
Jinsi ya Kupata Points
Kwa Waliomaliza A’ Level kabla ya 2014
(A = 5; B = 4; C= 3; D = 2; E = 1; S = 0.5)
Kwa Waliomaliza A’ Level 2014 and 2015
A = 5; B+ = 4; B = 3; C= 2; D = 1; E = 0.5)
Kwa Waliomaliza A’ Level 2016 mapaka sasa








