Ada za mafunzo kwa kozi za muda mrefu kwa vyuo vinavyomilikiwa na VETA kwa sasa ni shilingi 60,000/= kwa mwanafunzi wa kutwa katika fani zote na bweni ni shilingi 120,000/=. Gharama zingine hutegemeana na fani na mahitaji mahsusi kwenye chuo husika.
Orodha ya vyuo na fani zinazotolewa kwenye vyuo husika zinapatikana kwenye tovuti ya VETA:Â www.veta.go.tz






