Kwa sasa waombaji wanaoweza kurasimisha ujuzi kupitia Programu ya RPL wanapaswa kutoka katika fani zifuatazo:
- Uashi
- Uselemara
- Ufundi Magari (Makenika)
- Upishi
- Uhudumu wa Hoteli, Baa au Migahawa
- Ufundi Uungaji Vyuma (Welding)
- Ufundi Cherehani (Ushonaji wa Nguo)
- Ufundi Bomba
- Ufundi wa Umeme wa Najumbani na
- Ufundi wa Kunyoosha bodi za Magari
VETA inatarajio kuongeza orodha ya fani kulingana na mahitaji. Mwombaji mwenye ujuzi zaidi ya fani moja anapaswa kuchagua fani moja kwa wakati.






