Ajira Portal ni jukwaa la mtandaoni lililoundwa na sekretarieti ya ajira Tanzania ili kuwawezesha wanaotafuta kazi kutuma maombi ya nafasi wazi katika taasisi na mashirika mbalimbali ya serikali.​
​
Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Usaili Ajira Portal​
Waombaji wanaweza kuangalia matokeo yao kwa kufuata hatua hizi:
Hatua ya 1: Tembelea Ajira Portal​
Nenda kwenye mfumo rasmi wa Ajira Portal
Hatua ya 2: Ingia Kwenye Akaunti Yako​
Tumia:
- Barua pepe uliyosajili
- Nenosiri lako
Hatua ya 3: Fungua Sehemu ya Matokeo​
Baada ya kuingia kwenye akaunti:
- Chagua My Applications
- Fungua Interview Results au Matokeo ya Usaili
Hatua ya 4: Angalia Matokeo​
Kama matokeo yameshatolewa utaweza:
- Kuona hali ya maombi yako
- Kupakua PDF ya matokeo
- Kuangalia kama umeitwa hatua inayofuata au umechaguliwa kazini
Links Mhimu
- Matangazo ya Kazi
Link:Â https://portal.ajira.go.tz/vacancies
Hii ni sehemu yenye matangazo ya kazi, ambapo waombaji wanaweza kuona kazi zote zilizotangazwa kwenye Ajira Portal. - Kuingia kwenye Akaunti
Link:Â https://portal.ajira.go.tz/auth/login
Hii ni link ya kuingia kwa watumiaji waliosajiliwa tayari. - Maoni na Mrejesho
Link:Â https://portal.ajira.go.tz/feedback
Hii ni sehemu ya kutoa maoni na mrejesho kuhusu uzoefu na huduma zinazotolewa kwenye Ajira Portal. - Kujisajili kwa Akaunti Mpya
Link:Â https://portal.ajira.go.tz/auth/register
Hii ni kwa waombaji wapya wanaotaka kujiandikisha kwenye Ajira Portal.













