TAARIFA KWA UMMA – DIRISHA LA UOMBAJI MIKOPO 2026/2027
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU ZANZIBAR (BMWEJZ / ZHESLB)
Tarehe: 03 Julai, 2026
DIRISHA LA UOMBAJI MIKOPO LIMEFUNGULIWA
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Zanzibar inawataarifu umma kuwa Dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2026/2027 limefunguliwa rasmi.
VIWANGO VYA MASOMO YANAYOKUBALIWA
Maombi yanakubalika kwa viwango vifuatavyo:
-
Diploma
-
Digrii (Degree)
-
Masters
-
PhD
DOWNLOAD MIONGOZO YA ELIMU YA JUU ZANZIBAR